Baadhi ya wakazi wa Msomela wilayani Handeni mkoani Tanga wakipata elimu ya matumizi ya mitungi ya Taifa Gas kutoka kwa Wataalamu wa Kampuni ya Taifa Gas wakati mafunzo ya nadharia ya siku tatu yaliyoanza leo na yanatarajiwa kumalizika Juamatano.Jumla ya mitungi 1000 ya Taifa Gas inatarajiwa kugawiwa bure kwa wakazi hao katika hafla kubwa itakayofanyika Ijumaa ya Mei 17,2024.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...