TUME ya Kuangalia Jinsi ya Kuboresha taasisi za Haki Jinai nchini inayoongozwa na Mwenyekiti wake Jaji Mkuu Mstaafu, Mohamed Othman Chande mapema leo Mei 20, 2024 jijini Dodoma, imekutana kwa mazungumzo na Wakuu wa Taasisi za Haki Jinai akiwemo Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania, CGP Mzee Ramadhani Nyamka.
Wakuu wa Taasisi za Haki Jinai wakifuatilia mazungumzo katika kikao cha Tume ya Haki Jinai, Leo Mei 20, 2024 Jijini Dodoma. Pichani katikati ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania, CGP Mzee Ramadhani Nyamka. Kulia ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Uhamiaji Tanzania, CGI Anna Makakala. Kushoto ni Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camilius Wambura. Picha zote na Jeshi la Magereza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...