NA WILLIUM PAUL, MOSHI.
MKUU wa Wilaya ya Moshi Zephania Sumaye ametangaza siku 21 za moto za Oparation ya kukamata mitambo yote inayotengenzea pombe haramu ya gongo katika Wilaya hiyo.
Akizungumza katika baraza la Madiwani la Halmashauri ya Moshi Sumaye amesema vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa wameharibikiwa kutokana na unywaji wa pombe kupita kiasi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...