
Mmoja wa wadau akipokea cheti cha shukurani kutoka kwa Ofisa Maendeleo ya Jamii, Manispaa ya Ilemela,Sitta Singibala (kushoto), leo.
.jpg)
Ofisa Maendeleo ya Jamii, Manispaa ya Ilemela,Sitta Singibala (kushoto),leo akimkadhi cheti cha shukurani mmoja wa wadau wa maendeleo Kata ya Pasiansi. Picha zote na Baltazar Mashaka
Mkurugenzi wa Fish Maws Industry ()kulia) akipokea cheti shukurani kutoka kwa Ofisa Maendeleo ya Jamii, Manispaa ya Ilemela,Sitta Singibala, leo ambavyo vimetolewa na Diwani wa Pasiansi, Rosemary Mayunga
.jpg)
Ofisa Maendeleo ya Jamii, Manispaa ya Ilemela,Sitta Singibala (kushoto),leo akimkadhi cheti cha shukurani mmoja wa wadau wa maendeleo Kata ya Pasiansi. Picha zote na Baltazar Mashaka
.jpg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...