Na Mwamvua Mwinyi,Mafia
Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Mafia kwa kufanikiwa kuongeza vyanzo vya mapato na kupata hati safi.
Kunenge ameyasema hayo katika kikao cha kujadili hoja za CAG kilichofanyika wilayani Mafia mkoa wa Pwani.
Amesema ,kama kuna vitu ambavyo Mhe.Rais anavisisitiza na kuvitekeleza, halmashauri nyingine zijifunze kuongeza vyanzo vya mapato, vyanzo vipya na kuwa na sheria mpya .
Kunenge ameitaka , halmashauri hiyo ya Mafia kuendelea kubuni na kuwa na vyanzo ambavyo vitaendelea kuongeza ukusanyaji wa mapato ili kuibadilisha Mafia.
Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Mafia kwa kufanikiwa kuongeza vyanzo vya mapato na kupata hati safi.
Kunenge ameyasema hayo katika kikao cha kujadili hoja za CAG kilichofanyika wilayani Mafia mkoa wa Pwani.
Amesema ,kama kuna vitu ambavyo Mhe.Rais anavisisitiza na kuvitekeleza, halmashauri nyingine zijifunze kuongeza vyanzo vya mapato, vyanzo vipya na kuwa na sheria mpya .
Kunenge ameitaka , halmashauri hiyo ya Mafia kuendelea kubuni na kuwa na vyanzo ambavyo vitaendelea kuongeza ukusanyaji wa mapato ili kuibadilisha Mafia.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...