Chuo Cha Bahari Dar ES Salaam (DMI) kinaendelea na huduma ya usajili wa wanafunzi katika viwanja vya Sabasaba Dar es Salaam bila malipo.

DMI ni moja ya taasisi zilizopo katika maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

Timu ya wataalam kutoka chuo Cha Bahari Dar es Salaam -DMI wanaendelea kutoa elimu ya masuala ya ubaharia pamoja na fursa zinazopatikana baharini.

Aidha chuo Cha Bahari Dar es Salaam -DMI kinawakaribisha wananchi kutembelea kwenye Banda lao lililopo ndani ya KARUME HALL.

Huduma mbalimbali zinatolewa ikiwa ni pamoja na usajili wa wanafunzi wanaojiunga na Kozi za Cheti na Diploma bila malipo yoyote pamoja na elimu ya Ubaharia.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...