Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia S. Hassan, na mgeni wake, Mhe. Filipe J. Nyusi, Rais wa Msumbiji (wa pili kutoka kushoto), wakimsikiliza Philip Besiimire, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, wakati marais hao walipotembelea banda la kampuni hiyo. Pichani, Bw. Besiimire anaelezea shughuli za kampuni hiyo mnamo Julai 4, 2024, wakati wa uzinduzi rasmi wa maonesho ya 48 ya Sabasaba ambapo Vodacom pia iliibuka mshindi wa jumla huku mheshimiwa January Makamba (katikati), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, akitazama.
Home
Unlabelled
RAIS SAMIA,NYUSI WALIPOTEMBELEA BANDA LA VODACOM MAONESHO YA SABA SABA JIJINI DARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...