.jpeg)
MKUU wa Wilaya ya Ruangwa Mheshimiwa Hassan Ngoma ametembela banda la ShIrika la Viwango Tanzania (TBS) katika siku ya kilele cha Maonesho ya Nanenane ambayo yamefanyika katika Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
DC Ngoma amefika katika banda hilo na kujionea maafisa wa TBS wakotoa elimu na kuwahudumia wananchi ambao wametembelea banda lao.
DC Ngoma ameelezwa namna TBS inavyofanya shughuli zake katika kuhakikisha wazalishaji, wauzaji na wasambazaji wa bidhaa pamoja na wananchi kwa ujumla wanatumia bidhaa ambazo zimekidhi matakwa ya viwango.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...