Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, Oktoba 5,2024 amewasili mkoani Kigoma na kufanya kikao kazi na kuwa na majadiliano ya ndani na Maofisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali waliopo mkoani humo ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi katika mikoa ya Kanda za Kipolisi. Picha na Jeshi la Polisi


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...