Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) akizungumza wakati wa Mahafali ya 13 ya Wahitimu wa Mitihani ya Kitaaluma ya PSPTB yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), Jacob Kibona akizungumza katika Mahafali ya 13 ya Wahitimu wa Mitihani ya Kitaaluma ya PSPTB  kuanzishwa kwa Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi 2007 nak usema kuwa kwa mujibu wa sheria iliyoanzisha bodi matokeo yote ya mitihani ya bodi ni lazima yapitiwe na kuidhinishwa na bodi ya Wakurugenzi.
Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) Godfred Mbanyi akizungumza wakati wa Mahafali ya 13 ya Wahitimu wa Mitihani ya Kitaaluma ya PSPTB ambapo amewaasa wahitimu kufanya kazi kwa kufata maadili ya kitaaluma ili kulinda heshima ya fani yao na kuleta ufanisi katika matumizi ya rasirimali za umma kwa manufaa ya Taifa wakati wa mahafali hayo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.
Mshehereshaji ambaye ni  Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Uhusiano kwa Umma ( PSPTB), Shamim Mdee  akizungumza jambo wakati wa Mahafali ya 13 ya Wahitimu wa Mitihani ya Kitaaluma ya PSPTB.
Baadhi ya Wageni waalikwa pamoja na wafanyakazi wa PSPTB wakifuatilia hotuba ya Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) wakati wa Mahafali ya 13 ya Wahitimu wa Mitihani ya Kitaaluma ya PSPTB.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) akitoa zawadi kwa baadhi ya wanafunzi waliofanya vizuri kwenye mitihani ya Bodi wakati wa mahafali ya 13 ya Bodi ya wataalumu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) akiwatunuku wahitimu wa walioudhuria Mahafali ya 13 ya Wahitimu wa Mitihani ya Kitaaluma ya PSPTB yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa kitengo cha Sheria PSPTB Piencia Kiure akiwaapisha Wahitimu wa mahafali ya 13 ya Bodi ya wataalumu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) kiapo cha kiapo cha utii, uadilifu na uaminifu
Wahitimu wa mahafali ya 13 ya Bodi ya wataalumu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) wakila kiapo cha utii na uaminifu 
Picha mbalimbali za pamoja katika mahafali ya 13 ya  wahitimu wa mitihani ya kitaaluma ya PSPTB

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...