Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Ndani kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Ndositwe Haonga amefungua mkutano wa 19 wa Mamlaka za Mapato katika nchi za Afrika Mashariki wenye lengo la kushirikishana mbinu na mikakati mbalimbali ya maadili ili kupambana na vitendo vya rushwa vinavyopelekea upotevu wa kodi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...