Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Ndani kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Ndositwe Haonga amefungua mkutano wa 19 wa Mamlaka za Mapato katika nchi za Afrika Mashariki wenye lengo la kushirikishana mbinu na mikakati mbalimbali ya maadili ili kupambana na vitendo vya rushwa vinavyopelekea upotevu wa kodi. 

Mkurugenzi Haonga amefungua mkutano huo kwa niaba ya Kamishna Mkuu wa TRA. Mkutano huo umeanza tarehe 22 na utamalizika tarehe 25 Oktoba, 2024 jijini Arusha.







Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...