Wananchi mkoani Mwanza wameendelea kutembelea banda la Ofisi ya Sera, Bunge na Uratibu na kupewa elimu kuhusu masuala ya uratibu wa shughuli za Serikali ikiwemo ya menejimenti ya maafa, uwezeshaji wananchi kiuchumi katika maadhimisho ya Wiki ya Maafa ambapo Kitaifa yanafanyika Mkoani humo.
Kaulimbiu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupunguza Maafa Duniani inasema; “Elimu katika Kuwalinda na Kuwajengea Uwezo Vijana kwa Mustakabali Usio na Maafa”
Maadhimisho hayo yanaenda sambamba na maadhimisho ya Wiki ya Vijana inayofanyika Viwanja vya Furahisha kuanzia Oktoba 8-13, 2024 na Kilele cha Mbio za Mwenge kitakachofanyika Uwanja wa CCM Kirumba Oktoba 1, 2024 pamoja na Kumbukumbu ya Miaka 25 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere itakayofanyika Kanisa Katoliki la Nyakahoja mkoani Mwanza.







Kaulimbiu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupunguza Maafa Duniani inasema; “Elimu katika Kuwalinda na Kuwajengea Uwezo Vijana kwa Mustakabali Usio na Maafa”
Maadhimisho hayo yanaenda sambamba na maadhimisho ya Wiki ya Vijana inayofanyika Viwanja vya Furahisha kuanzia Oktoba 8-13, 2024 na Kilele cha Mbio za Mwenge kitakachofanyika Uwanja wa CCM Kirumba Oktoba 1, 2024 pamoja na Kumbukumbu ya Miaka 25 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere itakayofanyika Kanisa Katoliki la Nyakahoja mkoani Mwanza.








Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...