Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga taifa Dkt. Stergomena Tax akisaini kitabu ya mahudhiro katika msiba wa aliyekuwa Meja Jenerali wa Jeshi wa Wananchi(JWTZ), Charlse Mbunge.
Na mwandishi wetu.................
Mwili wa aliyekuwa Meja Jenerali wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Charles Mbuge umeagwa leo katika hospitali kuu ya JWTZ jijini Dar es salaam na kusafirishwa kuelekea kijijini kwake Kiabakari, Butiama, ambako unatarajia kuzikwa kesho tarehe 17 oktoba 2024, kitongoji cha Kyabakari, wilaya ya Butiama Mkoani Mara
Meja Jenerali Mbuge alifariki tarehe 12 Oktoba 2024, nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...