Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akizungumza kwa njia ya Simu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. Samia Suluhu Hassan alipopiga simu kuzungumza na wadau na
Mashabiki wa mchezo wa ngumi, wakati wa tukio maalum la pambano la ngumi
la ‘Knockout ya Mama’ linalofanyika katika ukumbi wa Super Dome, Masaki
jijini Dar es Salaam, Desemba 26, 2024
Home
HABARI
WAZIRI MKUU AMPIGIA RAIS SAMIA SIMU NA KUZUNGUMZA NA WADAU WA MCHEZO WA NGUMI KWENYE PAMBANO LA KNOCKOUT YA MAMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...