Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Makatibu Wakuu wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambaye Tanzania ni Mwenyekiti wa kamati hiyo kinafanyika Zanzibar Januari 04, 2025.
Kikao hicho kimeitishwa kwa ajili ya kujadili hali ya siasa na usalama nchini Msumbiji kufuatia uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliofanyika Oktoba, 09, 2024
Mkutano huo wa Makatibu Wakuu unafanyika chini ya Mwenyekiti, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Balozi, Dkt. Samwel W. Shelukindo
Nchi zinazoshiriki mkutano huo ni mwenyeji Tanzanua, Zambia na Malawi.
Kikao hicho kimeitishwa kwa ajili ya kujadili hali ya siasa na usalama nchini Msumbiji kufuatia uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliofanyika Oktoba, 09, 2024
Mkutano huo wa Makatibu Wakuu unafanyika chini ya Mwenyekiti, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Balozi, Dkt. Samwel W. Shelukindo
Nchi zinazoshiriki mkutano huo ni mwenyeji Tanzanua, Zambia na Malawi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...