Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Wakili Stephen Byabato anamshukuru sana Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwezesha Miradi Mikubwa na ya kimkakati kutekelezwa katika Jimbo la Bukoba Mjini kwa kipindi kifupi cha Uongozi wao.
Aidha anawashukuru sana wananchi wa Jimbo la Bukoba Mjini kwa kuipokea vema na kushirikiana na viongozi wa Mkoa na Wilaya kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa na kukamilika kwa wakati.
NTUKUSIMA MUNO MA SAMIA OMUKAMA AKUBERE.
#Maringo100yaSamianaByabato
#BukobaMjinihatukudai
#NiByabato2025
#SSH5TENA2025
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...