Afisa bima wa VodaBima kutoka Vodacom Tanzania PLC kanda ya Ziwa, Hellen Masali akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Omari Ramadhan jijini Mwanza. Mafuta hayo yametolewa bure ikiwa ni moja ya adhma ya kampeni yao ya msimu wa sikukuu ya kurejesha tabasamu kwa wateja wake katika msimu huu wa sikukuu. Ili kushinda Mafuta bure endelea kulipia kwa kutumia M-pesa.


Afisa bima wa VodaBima kutoka Vodacom Tanzania PLC kanda ya Ziwa, Hellen Masali akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Zacharia Regan jijini Mwanza.

Mkuu wa kanda ya ziwa kutoka Vodacom Tanzania PLC, Venance Chapaulinge akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Rajabu Kawambwa jijini Mwanza.



Mkuu wa kanda ya ziwa kutoka Vodacom Tanzania PLC, Venance Chapaulinge akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Rajabu Kawambwa jijini Mwanza.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...