Afisa bima wa VodaBima kutoka Vodacom Tanzania PLC kanda ya Ziwa, Hellen Masali akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Omari Ramadhan jijini Mwanza. Mafuta hayo yametolewa bure ikiwa ni moja ya adhma ya kampeni yao ya msimu wa sikukuu ya kurejesha tabasamu kwa wateja wake katika msimu huu wa sikukuu. Ili kushinda Mafuta bure endelea kulipia kwa kutumia M-pesa.
Afisa bima wa VodaBima kutoka Vodacom Tanzania PLC kanda ya Ziwa, Hellen Masali akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Zacharia Regan jijini Mwanza.
Mkuu wa kanda ya ziwa kutoka Vodacom Tanzania PLC, Venance Chapaulinge akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Rajabu Kawambwa jijini Mwanza.
Mkuu wa kanda ya ziwa kutoka Vodacom Tanzania PLC, Venance Chapaulinge akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Rajabu Kawambwa jijini Mwanza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...