TAASISI ya Mama Ongea na Mwanao imefanya mazungumzo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Makundi Maalumu, Dkt. Dorothy Gwajima ambapo ameahidi kutoa ushirikiano kwa taasisi hiyo ambayo ipo chini ya Mwenyekiti wake Steven Nyerere.
Akizungumza mara baada ya kufanya mazungumzo, Steven Nyerere amesema kuwa Waziri Gwajima anatambua umuhimu wa Wanawake hasa kulinda utamaduni wetu na kukikumbusha kizazi hiki kulinda amani na kukemea vitu mbalimbali vinavyovunja utu.
Amesema kuwa "Dkt. Gwajima anatambua mchango wetu, kuanzia kampeni ya Samia nivushe kiatu, baiskeli ya mama na makundi ya walemavu".
Aidha amesema kuwa Kuelekea kilele cha siku ya wanawake duniani mwezi Machi taasisi ya mama ongea na mwanao itatoa ushirikiano mkubwa kuhakikisha jambo la mama ni jambo letu.




Akizungumza mara baada ya kufanya mazungumzo, Steven Nyerere amesema kuwa Waziri Gwajima anatambua umuhimu wa Wanawake hasa kulinda utamaduni wetu na kukikumbusha kizazi hiki kulinda amani na kukemea vitu mbalimbali vinavyovunja utu.
Amesema kuwa "Dkt. Gwajima anatambua mchango wetu, kuanzia kampeni ya Samia nivushe kiatu, baiskeli ya mama na makundi ya walemavu".
Aidha amesema kuwa Kuelekea kilele cha siku ya wanawake duniani mwezi Machi taasisi ya mama ongea na mwanao itatoa ushirikiano mkubwa kuhakikisha jambo la mama ni jambo letu.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...