SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) kwa kushirikiana na Shirika la Viwango Zanzibar (ZBS) wameendelea kutoa elimu kwa wajasiriamali juu ya umuhimu wa kuwa na alama ya ubora katika maonesho ya 11 ya biashara yanayoendelea visiwani Zanzibar.
Wametoa elimu kwa kuwatembelea kila banda wajasiriamali hao walioshiriki kwenye Maonesho hayo ambayo yameanza Januari 1 na yanatarajiwa kufungwa Januari 15, 2025.
Wametoa elimu kwa kuwatembelea kila banda wajasiriamali hao walioshiriki kwenye Maonesho hayo ambayo yameanza Januari 1 na yanatarajiwa kufungwa Januari 15, 2025.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...