Mwanzilishi wa Jukwaa la Ucheshi (Cheka tu) Conrad Kennedy Coy amepewa Tuzo ya Heshima Katika Usiku wa Tuzo za Ucheshi (TCA) unaofanyika Ukumbi wa Superdom Masaki Jijini Dar es Salaam.

Coy amekuwa akitoa Mchango wake Mkubwa na Kufanya Mapinduzi ya burudani ya Ucheshi Kipindi cha hivi Karibuni .

Aidha Coy amekuwa akilea Wasanii wa Ucheshi na Kuwaandalia Majukwaa mbalimbali ili Kuendelea Kuonesha na Kukuza Vipaji vyao ,
Miongoni mwa Waliopita katika Mikono yake ni pamoja na Asma Jameda,Mama chanja,Kipotoshi na Wengine wengi.

Mara baada ya Kupokea tuzo hiyo Coy amemtaja Mpoki,Marehemu Max na Zembwela Kama Walimu ambao wamempa njia ya Kufika hapo alipo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...