

Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna (hayupo pichani) alipomtembelea Wakili Mkuu wa Serikali kwa lengo la kujitambulisha Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna akizungumza na Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) alipomtembelea kwa lengo la kujitambulisha Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

Maafisa waandamizi wa Benki ya NMB wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo,
Bi. Ruth Zaipuna (hayupo pichani) walipomtembelea Wakili Mkuu wa Serikali kwa lengo la kujitambulisha ofisi kwake jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...