Wadau wa madini wameendelea kuvutiwa na madini yanayowasilishwa katika Kituo Cha Jemolojia Tanzania (TGC) jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mnada wa madini ya vito unaotarajiwa kufanyika Aprili 08, 2025.
Katika hatua nyingine, wameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Madini kwa kurejesha minada ya madini nchini.







Katika hatua nyingine, wameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Madini kwa kurejesha minada ya madini nchini.








Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...