Afisa Rasilimali Mwandamizi wa Barrick nchini Emmanuel Msacky,akiongea na Wanafunzi katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC

Afisa Rasilimali Mwandamizi wa Barrick nchini Emmanuel Msacky,akiongea na Wanafunzi katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC


Wanafunzi wakiwa katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC

Wanafunzi wakiwa katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC

Wanafunzi wakiwa katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC

Wafanyakazi wa Barrick katika hafla hiyo

*
Wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Morogoro wamepata fursa ya kupata elimu ya kuchangamkia fursa za kupata mafanikio kupitia elimu yao katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC.


Katika kongamano hilo la aina yake,lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Mzumbe kwa udhamini wa kampuni ya Barrick nchini, wanafunzi waliweza kujua kwa undani shughuli za makampuni mbalimbali makubwa ya kibiashara nchini na jinsi ya kutafuta fursa ya kujiunga nayo pindi wamalizapo masomo yao ya elimu ya juu.


Wanafunzi pia walijengewa uwezo kutoka kwa wafanyakazi wa Barrick na taasisi nyinginezo kuhusiana na jinsi ya kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza,kujiamini na jinsi ya kujiajiiri na kutengeneza fursa za ajira.


Afisa Rasilimali Mwandamizi wa Barrick nchini Emmanuel Msacky,akiongea na Wanafunzi katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC



Wanafunzi wakiwa katika kongamano lililoandaliwa na AIESEC











Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...