Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amezitaka nchi za Afrika kuungana ili kuleta mapinduzi ya elimu mtandao na kujenga uchumi wa kidigitali.
Dkt. Biteko ameyasema hayo Mei 08, 2025 jijini Dar es Salaam akifungua kongamano la 18 la e-Learning Africa ambapo amezitaka nchi za Afrika kuungana pamoja ili kuleta mapinduzi ya elimu mtandao na kujenga uchumi imara wa kidigitali.
Amesema ushirikiano utasaidia kuleta mageuzi ya kidijitali ambayo ni jumuishi na yenye kutatua changamoto mbalimbali kuchangia ustawi wa muda mrefu wa Afrika” alisema Biteko.


Dkt. Biteko ameyasema hayo Mei 08, 2025 jijini Dar es Salaam akifungua kongamano la 18 la e-Learning Africa ambapo amezitaka nchi za Afrika kuungana pamoja ili kuleta mapinduzi ya elimu mtandao na kujenga uchumi imara wa kidigitali.
Amesema ushirikiano utasaidia kuleta mageuzi ya kidijitali ambayo ni jumuishi na yenye kutatua changamoto mbalimbali kuchangia ustawi wa muda mrefu wa Afrika” alisema Biteko.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...