Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Haika Mallya akimuelimisha mlipakodi wa eneo la Miyomboni Iringa wakati wa zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.
Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Richard Kayombo akimpatia zawadi Meneja wa Radio ya Shamba FM ya Mkoani Iringa Bw. Laurian  Deogratius baada ya kumaliza kipindi kilichoangazia masuala ya haki na wajibu wa mlipakodi pamoja na umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni sehemu ya zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.
Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Shaga Gagunda  akimuelimisha mlipakodi wa eneo la Miyomboni Iringa wakati wa zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.
Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Frola  Fulgence akimuelimisha mlipakodi wa eneo la Miyomboni Iringa wakati wa zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.
Afisa Msimamizi Mkuu wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Charles Mkumbwa akimuelimisha mlipakodi wa eneo la Miyomboni Iringa wakati wa zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.
Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Richard Kayombo akizungumzia mada ya haki na wajibu wa Mlipakodi katika kipindi cha radio cha kivulini kinachorushwa na Shamba FM iliyoko mkoani Iringa ikiwa ni sehemu ya zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.
Meneja Msaidizi wa Huduma kwa Mlipakodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Iringa Bw. Musa Haruni akizungumzia mada ya umuhimu wa kulipa kodi katika kipindi cha radio cha kivulini kinachorushwa na Shamba FM iliyoko mkoani Iringa ikiwa ni sehemu ya zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...