-Elimu ya matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia yaendelea kutolewa
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unashiriki maadhimisho ya Kitaifa ya Nishati Jadidifu yanayoratibiwa na Jumuiya ya Wadau wa Nishati Jadidifu Tanzania (TAREA).
Kaulimbiu ya Maadhimisho haya ni 'Kuwezesha Uendelevu: Kukuza Matumizi ya Nishati Jadidifu’
Katika maadhimisho haya, REA imepata fursa ya kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia sambamba na kushiriki katika mijadala mbalimbali kuhusu nafasi ya nishati jadidifu katika kufikia lengo la Taifa la kufikia 80% ya wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034.







Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unashiriki maadhimisho ya Kitaifa ya Nishati Jadidifu yanayoratibiwa na Jumuiya ya Wadau wa Nishati Jadidifu Tanzania (TAREA).
Kaulimbiu ya Maadhimisho haya ni 'Kuwezesha Uendelevu: Kukuza Matumizi ya Nishati Jadidifu’
Katika maadhimisho haya, REA imepata fursa ya kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia sambamba na kushiriki katika mijadala mbalimbali kuhusu nafasi ya nishati jadidifu katika kufikia lengo la Taifa la kufikia 80% ya wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034.








Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...