Naibu Waziri anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mikumi, amechukuwa Fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Mikumi kwa awamu nyingine.
Londo amekabidhiwa Fomu hiyo na Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kilosa Ndg. Janus Mfaume tarehe 29 Juni, 2025 katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kilosa.
Londo amekabidhiwa Fomu hiyo na Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kilosa Ndg. Janus Mfaume tarehe 29 Juni, 2025 katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kilosa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...