Mkutano Huo ukiwa ni mkutano wa 16 wa wanahisa umefanyika jana Julai 26, 2025 katika kituo cha kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es salaam ambao ulihudhuriwa na wanahisa kutoka mikoa mbalimbali nchini Tanzania, pamoja na Askofu Mkuu wa Jimbo kuu katoliki la Dodoma Mhashamu Beatus Kinyaiya OFM Cap
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...