Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Taifa (UWT)Ndg. Mary Chatanda leo tarehe 06 Julai,2025 ametembelea Banda Jumuishi ya Ofisi ya Waziri Mkuu lililopo katika Viwanja vya Maonesho ya 49 ya Biashara (SABASABA) yanayoendelea Jijini Dar wa Salaam.
Maonesho hayo yamebebwa na Kauli Mbiu isemayo; "Maonesho ya Biashara ya Kimataifa, Fahari ya Tanzania"




Maonesho hayo yamebebwa na Kauli Mbiu isemayo; "Maonesho ya Biashara ya Kimataifa, Fahari ya Tanzania"





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...