
Nsindo ambaye ni mdau wa michezo, amechukua fomu hiyo katika Ofisi ya CCM Kata Buyuni, jijini Dar es Salaam leo.
Dirisha la utoajia wa fomu Kwa wanachama ndani ya CCM kuomba kuteuliwa kugombea nafasi za ubunge na udiwani lilifunguliww Juni 28 na litafungwa kesho, huku akishuhudiwa idadi kubwa ya wanachama kujitokeza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...