Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena Rwebangira, leo Julai 16,2025, ametembelea mafunzo yanayofanyika kwa Watendaji wa Uchaguzi ngazi ya Mkoa na Jimbo kwa Mkoa wa Tabora na Kigoma yanayoendelea katika kituo cha Tabora.
Mjumbe Mhe.Rwebangira ameshuhudia mada mbalimbali zikiendelea kuwasilishwa sambamba na mafunzo yanayofanyika kwa njia ya vitendo.
Mafunzo haya ya siku tatu yamejumuisha Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa, Wasimamizia wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo, Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi na Maafisa Ununuzi, yanaendelea ikiwa ni siku ya pili huku yakitarajia kutamatika tarehe 17 Julai, 2025.
#KuraYakoHakiYakoJitokezeKupigaKura:




Mjumbe Mhe.Rwebangira ameshuhudia mada mbalimbali zikiendelea kuwasilishwa sambamba na mafunzo yanayofanyika kwa njia ya vitendo.
Mafunzo haya ya siku tatu yamejumuisha Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa, Wasimamizia wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo, Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi na Maafisa Ununuzi, yanaendelea ikiwa ni siku ya pili huku yakitarajia kutamatika tarehe 17 Julai, 2025.
#KuraYakoHakiYakoJitokezeKupigaKura:





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...