


MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni(kulia) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa wilaya ya Mwanga, Rukia Zuberi (kushoto) katika uwanja wa soko la Mgagao leo tayari kwa kukimbizwa wilayani Mwanga.
Ukiwa wilayani Mwanga Mwenge wa Uhuru utakimbizwa kilomita 237 na kutembea miradi nane yenye thamani ya Bilioni 1.9.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...