MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni(kulia) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa wilaya ya Mwanga, Rukia Zuberi (kushoto) katika uwanja wa soko la Mgagao leo tayari kwa kukimbizwa wilayani Mwanga.

Ukiwa wilayani Mwanga Mwenge wa Uhuru utakimbizwa kilomita 237 na kutembea miradi nane yenye thamani ya Bilioni 1.9.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...