Na Pamela Mollel, Arumeru
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arumeru, Noel Severe, amerejesha rasmi fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo, Julai 2, 2025.
Akizungumza mara baada ya kurejesha fomu, Severe alisema: “Namtegemea Mungu, tusubiri maamuzi na maelekezo ya chama, maana yote yanafanywa na Chama Cha Mapinduzi.”
Severe alishawahi kuongoza kura za maoni katika uchaguzi wa mwaka 2020

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arumeru, Noel Severe, amerejesha rasmi fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo, Julai 2, 2025.
Akizungumza mara baada ya kurejesha fomu, Severe alisema: “Namtegemea Mungu, tusubiri maamuzi na maelekezo ya chama, maana yote yanafanywa na Chama Cha Mapinduzi.”
Severe alishawahi kuongoza kura za maoni katika uchaguzi wa mwaka 2020

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...