Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Samwel Shelukindo, alikutana na kufanya mazungumzo na Bw. Andrew Lentz, Kaimu Balozi wa Ubalozi wa Marekani hapa nchini.
Mazungumzo hayo, yaliyofanyika katika ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam, yalilenga kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani katika maeneo ya maslahi ya pamoja.
Viongozi wengine waliohudhuria ni Makatibu Wakuu kutoka Wizara ya Ulinzi na Wizara ya Mambo ya Ndani, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji pamoja na maafisa waandamizi wengine kutoka Serikalini.












Mazungumzo hayo, yaliyofanyika katika ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam, yalilenga kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani katika maeneo ya maslahi ya pamoja.
Viongozi wengine waliohudhuria ni Makatibu Wakuu kutoka Wizara ya Ulinzi na Wizara ya Mambo ya Ndani, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji pamoja na maafisa waandamizi wengine kutoka Serikalini.













Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...