Bi. Roberta Feruzi, Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano kwa Umma akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea banda la (FCC) kuhusu kununua bidhaa sahihi na kuepuka kurubuniwa na matangazo na vifungashio vinavyopotosha katika viwanja vya Saba Saba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.


Wananchi mbalimbali wakipata maelezo kutoka kwa Scolastica Afisa Uhusiano wa (FCC) (PICHA ZOTE NA EMMMANUEL MASSAKA,MMG)












Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...