Usiku wa kuamkia Jumatatu ya leo August 13, 2025 shindano la Miss Universe lilifanya mchujo wa washiriki 20 kutoka kwenye washiriki 35 waliokuwa Kambini na kubaki na washiriki 15 ambao ndio watapanda jukwaa la fainali ya Miss Universe Tanzania 2025.
Washiriki 15 walioingia fainali ni;
Kutoka Dar es salaam
1. Celline Joseph Mollel
2. Hilda Ephraim Kibonde
3. Shifa Adam Rajab
4. Evelyn Charles Raphael
5. Naisae Yona
Kutoka Zanzibar;
6. Zulfa Yazid Suliman
7. Sarah Joseph
Kutoka Arusha;
8. Rania Khalid
9. Salma George Mwakalukwa
10. Glory Elias Letayo
Kutoka Mbeya;
11. Doreen Makere Nikonea
Kutoka Mwanza
12. Sipora Buchumi
13. Honarine Byela Ally
Na kutoka Dodoma
14. Janeth Anselme Takunga
15. Brenda Callixte Kanamugile
Fainali za Miss Universe Tanzania 2025 zitafanyika ukumbi wa Superdome tarehe 23 August, 2025. Unafikiri ni nani atashinda taji la Miss Universe mwaka huu?



Washiriki 15 walioingia fainali ni;
Kutoka Dar es salaam
1. Celline Joseph Mollel
2. Hilda Ephraim Kibonde
3. Shifa Adam Rajab
4. Evelyn Charles Raphael
5. Naisae Yona
Kutoka Zanzibar;
6. Zulfa Yazid Suliman
7. Sarah Joseph
Kutoka Arusha;
8. Rania Khalid
9. Salma George Mwakalukwa
10. Glory Elias Letayo
Kutoka Mbeya;
11. Doreen Makere Nikonea
Kutoka Mwanza
12. Sipora Buchumi
13. Honarine Byela Ally
Na kutoka Dodoma
14. Janeth Anselme Takunga
15. Brenda Callixte Kanamugile
Fainali za Miss Universe Tanzania 2025 zitafanyika ukumbi wa Superdome tarehe 23 August, 2025. Unafikiri ni nani atashinda taji la Miss Universe mwaka huu?



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...