Usiku wa kuamkia Jumatatu ya leo August 13, 2025 shindano la Miss Universe lilifanya mchujo wa washiriki 20 kutoka kwenye washiriki 35 waliokuwa Kambini na kubaki na washiriki 15 ambao ndio watapanda jukwaa la fainali ya Miss Universe Tanzania 2025.

Washiriki 15 walioingia fainali ni;

Kutoka Dar es salaam

1. Celline Joseph Mollel

2. Hilda Ephraim Kibonde

3. Shifa Adam Rajab

4. Evelyn Charles Raphael

5. Naisae Yona

Kutoka Zanzibar;

6. Zulfa Yazid Suliman

7. Sarah Joseph


Kutoka Arusha;

8. Rania Khalid

9. Salma George Mwakalukwa

10. Glory Elias Letayo




Kutoka Mbeya;

11. Doreen Makere Nikonea




Kutoka Mwanza

12. Sipora Buchumi

13. Honarine Byela Ally




Na kutoka Dodoma

14. Janeth Anselme Takunga

15. Brenda Callixte Kanamugile




Fainali za Miss Universe Tanzania 2025 zitafanyika ukumbi wa Superdome tarehe 23 August, 2025. Unafikiri ni nani atashinda taji la Miss Universe mwaka huu?


Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...