Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Dokta Abdulaziz Abood ameshinda kwa kishindo Uchaguzi wa kura za maoni Jimbo la Morogoro Mjini kwa kupata kura 4511 huku Mpizani wake wa karibu Ally Simba akiambulia kura 1886.

Wagombea wengine waliopata Robert Kadikilo kura 131,Bupe Kamugisha kura 60 Tekla Mbiki kura 46,Halfan Makila kura 28 na Tito Mlelwa kura 13 huku jumla ha kura zilizopigwa 6485 na kura zilizoharibika ni 84

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...