MTANDAO  wa Polisi Wanawake Tanzania  (TPF-Net) Wilaya ya Ilala umemtunuku tuzo maalumu Mkuu wa  wilaya hiyo Edward Mopogolo ya  kutambua mchango wake katika  kujenga jamii salama,jumuishi na yenye usawa wa kijinsia 

DC Mpogolo amekabidhiwa tuzo hiyo  ofisini kwake jijini Dar es Salaam, leo.

Aliushukuru mtandao TPF Net  kwa kutambua mchango huo na kwamba tuzo hiyo ni heshima kubwa kwake na wananchi wa Wilaya ya Ilala.

Tuzo hiyo ilikabidhiwa na SSP Latifah Chicco (RFBO Ilala),ASP Sophia Dilunga (OCS Kati na A/Inspekta  Husna wa Ofisi ya  RFBO Ilala.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...