Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera ameipongeza DUWASA na kuitaka kuendelea kutoa huduma Bora na yenye ufanisi kwa wananchi.

Dkt. Serera ametoa rai hiyo Leo Agosti 06, 2025 alipotembelea Banda la Wizara ya Maji, ambapo amepokea maelezo kuhusu huduma za DUWASA.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) inashiriki Maonesho ya Nanenane Nzuguni - Dodoma.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...