Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Fadhili Liwaka ameongoza kura 4703 za wajumbe jimbo la Nachingwea za kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Ubunge wa jimbo hilo.


Mpinzani wake mkubwa, Hassan Massala amefuatia kwa kuwa na kura 3307.


Jumla ya kura zote: 11978

Kura halali zilizopigwa: 9471


FADHILI ALLY LIWAKA 4703

HASSAN ELIAS MASALA - 3307

AMANDUSI CHINGUILE - 599

MAIMUNA PATHAN - 428

MOHAMEDI UNGELE - 338

ISSA MKALINGA - 116

Tofauti ya kura Kati ya LIWAKA na MASALA ni kura 1396.

Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...