Mohamed Mchengerwa leo Agosti 4, 2025 akiwa katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Azimio kata ya Umwe Rufiji pamoja na wajumbe wengine wa mkutano mkuu wa kata ya Umwe wakisikiliza maelekezo kutoka Msimamizi wa Uchaguzi ambaye ni Wajumbe wa kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya, kuelekea kupiga kura za maoni katika nafasi ya Udiwani na Ubunge Jimbo la Rufiji, Mkoani Pwani.
Wajumbe wa mkutano Mkuu wa kata ya Umwe wakipiga kura kwa amani  kumchagua Mbunge wa jimbo la Rufiji na Diwani wa Umwe.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...