

Mohamed Mchengerwa leo Agosti 4, 2025 akiwa katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Azimio kata ya Umwe Rufiji pamoja na wajumbe wengine wa mkutano mkuu wa kata ya Umwe wakisikiliza maelekezo kutoka Msimamizi wa Uchaguzi ambaye ni Wajumbe wa kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya, kuelekea kupiga kura za maoni katika nafasi ya Udiwani na Ubunge Jimbo la Rufiji, Mkoani Pwani.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...