Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa ufunguzi wa maonesho ya Nanenane Kitaifa yanayofanyika Viwanja vya Nanenane Nzuguni Jijini Dodoma.



Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakisaini kitabu cha wageni wakati wa Maonesho ya Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma.
Mawakili wa Serikali wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, wakitoa elimu ya msaada wa kisheria kwa baadhi ya wananchi waliotembelea banda la ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma


Mawakili wa Serikali wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakitoa elimu ya msaada wa kisheria kwa baadhi ya wananchi waliotembelea banda la ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma
Wakili wa Serikali wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Doreen Mhina akitoa maelezo kuhusu masomo ya kuzingatia ili kuwa Wakili wa Serikali kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mlangwa walipotembelea banda la Ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma.
Mwandishi wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), ndugu Abtwalib Makame akiangalia kipeperushi kinachoelezea majukumu ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali alipotembelea banda la ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma
Wakili wa Serikali wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Hosana Mgeni akiwapitisha wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtakatifu Gabriel kwenye kitabu chenye mkusanyiko wa sheria walipotembelea banda la Ofisi hiyo wakati wa Maonesho ya Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...