Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amefanya mazungumzo na Bw. Ando Naoki, Makamu wa Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) pembezoni mwa Mkutano wa Tisa wa TICAD uliofanyika jijini Yokohama.
Mheshimiwa Waziri Kombo amepongeza ushirikiano wa Tanzania na Japan kupitia JICA katika ufadhili wa uendelezaji wa sekta za kilimo; nishati; usafirishaji; afya; maji na uendelezaji wa rasilimali watu.
Katika kikao hicho walikubaliana kuendeleza ushirikiano huo hususan katika sekta za miundombinu bora, uendelezaji wa rasilimali watu; uchumi wa buluu na kilimo, hususan teknolojia ya kuongeza thamani malighafi za mazao.






Mheshimiwa Waziri Kombo amepongeza ushirikiano wa Tanzania na Japan kupitia JICA katika ufadhili wa uendelezaji wa sekta za kilimo; nishati; usafirishaji; afya; maji na uendelezaji wa rasilimali watu.
Katika kikao hicho walikubaliana kuendeleza ushirikiano huo hususan katika sekta za miundombinu bora, uendelezaji wa rasilimali watu; uchumi wa buluu na kilimo, hususan teknolojia ya kuongeza thamani malighafi za mazao.







Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...