
Dk.Nchimbi alikuwa mkoa wa Mara na sasa ameingia mkoa wa Simiyu kuendelea na kampeni katika Mkoa huo,ambapo ameanza na jimbo la Busega.
Akiwahutubia wananchi wa Busega mkoani Simiyu, Balozi Dkt.Nchimbi alisema Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipanga kuuletea maendeleo zaidi mkoa wa Simiyu.
Pia alimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Busega , Simon Songe sambamba na Wagombea Ubunge wengine pamoja na Madiwani wa Mkoa huo.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...