Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba 18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia viwanja vya Shule ya Msingi Mtongani, Jimbo la Kibaha Vijijini, mkoani Pwani.


Mariam alishiriki shughuli hiyo kama sehemu ya maandalizi ya uzinduzi wa kampeni unaotarajiwa kufanyika kesho katika uwanja huo.







 

Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...