Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba 19, amemuombea kura Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi jimbo la Kibaha Vijijini, mkoani Pwani.
Akiwahutubia wananchi wa jimbo hilo, Mariam aliwataka kumuunga mkono Rais Samia pamoja na wagombea wa ubunge na udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili kuendeleza kasi ya maendeleo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...