Na Said Mwishehe,Michuzi TV

HAKIKA wana Mbinga wana Vibe sio mchezo!Ndivyo unavyoweza kueleza kutokana na wingi wa wananchi waliojitokeza katika mkutano wa kampeni za mgombea urais Dk.Samia Suluhu Hassan.

Dk.Samia leo anapokelewa mkoani Ruvuma kwa ajili ya kuendelea na mikutano yake na leo atatanya mikutano miwili ukiwemo wa Wilaya ya Mbinga na baadae atakuwa na mkutano Mbamba Bay .

Kwa wananchi wa Mbinga Mjini tayari wamefurika katika eneo lq mkutano wakimsubiria kwa hamu kubwa Dk.Samia Suluhu ambaye ameendelea kunadi Ilani ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030 pamoja na kuomba kura kwa wananchi.

Hata hivyo wananchi hao muda wote walionekana wakiwa na Shangwe(Vibe) la kutosha ,wako wanaoburudika kwa muziki kutoka kwa wasanii wanaotoa burudani.

Wakati burudani ikiendelea mabango yenye picha ya mgombea Urais Dk.Samia Suluhu Hassan yameupamba mji wa Mbinga.









Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...