Mchezo kati ya timu ya Mgodi wa Barrick Bulyanhulu na Sixers ukiendelea
Mchezo kati ya timu ya Mgodi wa Barrick Bulyanhulu na Sixers ukiendelea

Wachezaji timu ya Mgodi wa Barrick Bulyanhulu na Sixers wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo


*
Mgodi wa Barrick Bulyanhulu uliopo katika halmashauri ya wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga, umeendelea kujenga uhusiano mzuri na jamii za maeneo yanaozunguka mgodi kupitia jukwaa la michezo ambapo Oktoba 14,2025 timu ya mpira wa kikapu inayoundwa na wafanyakazi wa mgodi iliikaribisha timu ya Sixers kutoka Kahama katika mechi ya kirafiki ambapo Bulyanhulu imeibuka na ushindi wa vikapu 33-30.


Migodi ya Barrick ya Bulyanhulu na North Mara inazo programu za kuwawezesha wafanyakazi wake kushiriki katika michezo mbalimbali kwa ajili ya kujenga afya zao.


Pia imekuwa ikiandaa mashindano mbalimbali yanayojumuisha jamii za maeneo yanayozunguka mgodi kwa ajili ya kujenga uhusiano mzuri na kuzipatia fursa kufahamu shughuli za migodi hiyo.

Wachezaji timu ya Sixers wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo

Wachezaji timu ya Mgodi wa Barrick Bulyanhulu wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo

Wachezaji timu ya Mgodi wa Barrick Bulyanhulu na Sixers wakipata maelekezo kabla ya mchezo

Mchezo kati ya timu ya Mgodi wa Barrick Bulyanhulu na Sixers ukiendelea

Mchezo kati ya timu ya Mgodi wa Barrick Bulyanhulu na Sixers ukiendelea

Baadhi ya wafanyakazi wa Barrick Bulyanhulu wakifuatilia mchezo





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...