
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mchezaji wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans na timu ya Taifa ya Tanzania, Clement Mzize amefanikiwa kuchukua tuzo ya goli bora la mwaka la shirikisho la soka barani Africa CAF.
Goli hilo alifunga kwenye mchezo dhidi ya TP Mazembe kwenye ligi ya mabingwa barani Afrika hatua ya Makundi katika dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...