Kampuni nambari moja ya ubashiri nchini Tanzania, KingBet yaja na promosheni kabambe katika msimu huu wa sikukuu za Christmas na Mwaka mpya. Promosheni inayokwenda kwa jina la Butua na AFCON ambapo imelenga hasa kutoa zawadi kwa wateja wake wote watakaobashiri kipindi chote cha sikukuu.

Promosheni hii imeanza rasmi tarehe 21/12/2025 na inatarajiwa kuisha rasmi tarehe 18/01/2026 baada ya mashindano ya AFCON kuisha. Kupitia promosheni hii washiriki watapata nafasi ya kushinda Smartphones, Routers, Pesa Taslim, iPhone 17 na zawadi kubwa PIKIPIKI mpyaaaa aina ya BOXER.

Kuingia kwenye droo ya ushindi ni rahisi sana, mshiriki atapaswa kutumia mtandao wa Airtel Money kuweka pesa kwenye akaunti yake ya Kingbet, kisha kwenye bashiri yake ahakikishe ana bashiri michezo ya soka na walau aweke mechi moja ya AFCON itakayochezwa kwenye wiki husika anayotamani kushinda zawadi.

Droo itachezeshwa kila baada ya siku saba na washindi kutangazwa kila wiki, washindi watapokea zawadi zao mara baada ya kutangazwa. Tembelea tovuti ya www.kingbet.co.tz kucheza na kushinda sasa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...